Uchumi

Uchumi


Uchumi ni jumla ya shughuli zote za binadamu zinazolenga kutosheleza mahitaji yao. Ni hasa uzalishaji, usambazaji na utumiaji wa bidhaa pamoja na kutolewa kwa huduma kwa njia mbalimbali.

Uchumi mara nyingi hutazamwa kwenye ngazi za kijiji, eneo, taifa au dunia.

Sayansi ya Uchumi (kwa Kiingereza economics) ni tawi la elimu inayochunguza masharti ya uchumi kufaulu au kushindwa.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search