Ufilipino

Repúbliká ng̃ Pilipinas
Jamhuri ya Ufilipino
Bendera ya Ufilipino Nembo ya Ufilipino
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Maka-Diyos, Makatao, Makakalikasan, at Makabansa
("Kwa Mungu, watu, mazingira na nchi")
Wimbo wa taifa: Lupang Hinirang ("Nchi teule")
Lokeshen ya Ufilipino
Mji mkuu Manila
14°35′ N 121°0′ E
Mji mkubwa nchini Quezon City
Lugha rasmi Kitagalog na Kiingereza*
Serikali Jamhuri
Rodrigo Duterte
Leni Robredo
Uhuru
Ilitangazwa
kujitawala
Ilitambuliwa
Katiba

12 Juni 1898
24 Machi 1934
4 Julai 1946
2 Februari 1987
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
300,000 km² (ya 73)
0.64
Idadi ya watu
 - 2015 kadirio
 - 2010 sensa
 - Msongamano wa watu
 
102,291,200 (ya 12)
92,337,852
340.97/km² (ya 43)
Fedha Philippine peso (piso) (PHP)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
PST (UTC+8)
(UTC)
Intaneti TLD .ph
Kodi ya simu +63
* Kicebuano, Kiilokano, Kihiligaynon, Kibikol, Kiwaray-waray, Likapampangan, Kipangasinan, Kinaray-a , Kimaranao , Kimaguindanao, Kitagalog, Kitausug ni lugha rasmi kieneo. Kihispania na Kiarabu hutambuliwa kwa msingi wa matumizi ya hiari.



Ufilipino (kwa Kitagalog: Pilipinas), ni nchi ya kisiwani kwenye Funguvisiwa la Malay katika Asia ya Kusini-Mashariki.

Ina visiwa 7,107 vyenye eneo la km² 300,000.

Mji mkuu ni Manila.

Jiografia ya Ufilipino.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search