Ufinyanzi ni teknolojia na ufundi wa kutengeneza vyombo kwa matumizi ya binadamu kwa kutumia udongo wa mfinyanzi au kauri.
Udongo wa ufinyanzi unapewa umbo unaotakiwa, kukaushwa, kupambwa na kuchomwa kwa moto na kwa njia hii vyombo vigumu vinatokea kwa matumizi yanayotakiwa kama vile sahani, bakuli, chungu, kikombe au birika.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search