Ufugaji

Ufugaji wa ng'ombe nchini Tanzania.
Mifugo huko Tibet.

Ufugaji (pia hujulikana kama ufugaji wanyama) ni mazoezi ya kilimo ya kuzaliana na kuongeza mifugo.

Kwa maana nyingine ufugaji ni kitendo cha kutunza wanyama na kuwapa chakula ukizingatia lishe bora au kanuni zote za ugawaji na utunzaji wa wanyama kwa kuzingatia lishe bora, hata pia upatikanaji wa maji kwa ajili ya wanyama hao.

Umekuwa unatekelezwa kwa maelfu ya miaka, tangu ufugaji wa kwanza wa wanyama.

Ufugaji ni mojawapo ya shughuli mbalimbali za binadamu ambazo huweza kumuingizia kipato ambacho huchangia katika uchumi wa nchi. Pia uchumi huo huchangia katika maendeleo ya nchi fulani.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search