Uganda

Jamhuri ya Uganda (Kiswahili)
Bendera ya Uganda Nembo ya Uganda
(Bendera ya Uganda) (Nembo ya Uganda)
Lugha rasmi Kiswahili Kiingereza
Mji Mkuu Kampala
Mji Mkubwa Kampala
Serikali Jamhuri
Rais Yoweri Museveni
Eneo km² 241,038
Idadi ya wakazi 42,729,036 (2018)
Wakazi kwa km² 177
Jumla la pato la taifa kinaganaga Bilioni $46.38[1]
Jumla la pato la taifa kwa kila mtu $1,060.43[1]
Pesa Shilingi ya Uganda
Kaulimbiu "kwa mungu na nchi yangu"
Wimbo wa Taifa Ewe Uganda, Ardhi ya Uzuri/Urembo
Uganda katika Afrika
Saa za Eneo UTC +3 (Wakati wa Afrika Mashariki)
Mtandao .ug
Kodi ya Simu +256

Uganda ni nchi ya Afrika ya Mashariki. Imepakana na Kenya upande wa mashariki, Sudan Kusini upande wa kaskazini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo upande wa magharibi, Rwanda na Tanzania upande wa kusini.

Uganda inamiliki sehemu ya ziwa la Viktoria Nyanza ikipakana huko na Kenya na Tanzania.

Uganda ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

  1. 1.0 1.1 "World Economic Outlook database: April 2022". imf.org.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search