Upinde

Mtu akipiga mshale kwa kutumia upinde.

Upinde (kutoka kitenzi "kupinda") au uta ni mti au maada nyingine iliyopindwa ambayo ncha zake zimeunganishwa kwa kamba, ukano au ngozi isiyotanishwa na hutumiwa kwa ajili ya kurushia mishale.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search