Ureno

República Portuguesa
Jamhuri ya Ureno
Bendera ya Ureno Nembo ya Ureno
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: (hakuna)
Wimbo wa taifa: A Portuguesa
Lokeshen ya Ureno
Mji mkuu Lisbon (Lisboa)
38°42′ N 9°11′ W
Mji mkubwa nchini Lisbon
Lugha rasmi Kireno1
Serikali Jamhuri
Marcelo Rebelo de Sousa
António Costa
Formation
Uhuru
24. Juni 1128
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
92,391 km² (ya 111th)
0.5%
Idadi ya watu
 - Julai 2014 kadirio
 - 2011 sensa
 - Msongamano wa watu
 
10,427,301 (ya 83)
10,562,178
115/km² (ya 97)
Fedha Euro (€)2 (EUR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
WET3 (UTC)
EST (UTC+1)
Intaneti TLD .pt
Kodi ya simu +351

-

1Kimiranda imetambuliwa kama lugha rasmi katika eneo ndogo la Ureno ya kaskazini (sheria N.º 7/99).
2Hadi 1999: Escudo ya Ureno
3Azori: UTC-1; UTC in summer


Ureno (kwa Kireno Portugal) ni nchi kwenye pembe ya kusini magharibi kabisa ya Ulaya. Upande wa magharibi na kusini imepakana na Bahari ya Atlantiki, na upande wa mashariki na kaskazini imepakana na Hispania.

Mafunguvisiwa ya Atlantiki ni pia sehemu za Ureno. Visiwa hivyo ni Azori kati ya Ulaya na Amerika na Visiwa vya Madeira vilivyoko katika sehemu ya Afrika ya Atlantiki.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search