Urika wa maaskofu


Urika wa maaskofu ni msamiati wa teolojia ambao unatokeza imani ya Kanisa katika umoja wa sakramenti ya daraja takatifu katika ngazi yake ya juu kuhusu utekelezaji wa kazi tatu ambazo Yesu aliwaachia Mitume wake na waandamizi wao kwa njia yao.

Maaskofu wote wanaunda kundi hilo kutokana na sakramenti waliyopokea, hata wasipoongoza jimbo lolote.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search