Utajiri

Lundo la pesa ni ishara ya utajiri.

Utajiri (kutoka neno la Kiarabu) ni wingi wa vitu vya thamani na wa vyanzo vya mapato ambavyo nchi au mtu wanamiliki.[1]

Ingawa kimsingi ni suala la uchumi, unahusika sana na maadili, kwa kuwa mali zinaweza kutumika vizuri au vibaya, hasa upande wa haki za watu wengine, ambao pia wanahitaji kiasi fulani cha vitu ili kuishi.[2][3]

Umoja wa Mataifa umepitisha kauli ya Kiingereza inclusive wealth kwa kujumlisha humo hata mambo yenye faida ambayo ni ya kiuasilia (kama vile ardhi na vyote vilivyomo), ya kibinadamu (watu pamoja na elimu, vipawa n.k. walivyonavyo) n.k. (k.mf. miundombinu: mashine, majengo n.k.)[4][5]

  1. Denis "Authentic Development: Is it Sustainable?", pp. 189-205 in Building Sustainable Societies, Dennis Pirages, ed., M. E. Sharpe, ISBN 1-56324-738-0, ISBN 978-1-56324-738-5. (1996)
  2. Kronman, Anthony T. (Machi 1980). "Wealth Maximization as a Normative Principle". 9. The Journal of Legal Studies. doi:10.1086/467637. {{cite journal}}: Cite journal requires |journal= (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. Robert L. Heilbroner, 1987 [2008. The New Palgrave: A Dictionary of Economics, v. 4, pp. 880-83. Brief preview link.
  4. Sponsored by (Juni 30, 2012). "Free exchange: The real wealth of nations". The Economist. Iliwekwa mnamo Julai 14, 2012.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  5. "Inclusive Wealth Report - IHDP". Ihdp.unu.edu. Julai 9, 2012. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-06-30. Iliwekwa mnamo Julai 14, 2012.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search