Utetezi wa Ukristo


Utetezi wa Ukristo ni sehemu ya teolojia ya Ukristo inayolenga kutoa hoja za kutetea imani kwa Yesu Kristo dhidi ya zile za watu wa dini nyingine na za wale wasio na dini yoyote.

Kwa utetezi wa namna hiyo katika lugha nyingi limetoholewa neno la Kigiriki ἀπολογία, apologia, "utetezi wa sauti, hotuba ya utetezi"[1].

Ni tofauti kidogo na hoja zinaotumiwa na Wakristo dhidi ya dini na itikadi nyingine[2][3].

  1. "ἀπολογία". Blue Letter Bible-Lexicon. Iliwekwa mnamo 7 Mei 2012. {{cite web}}: Cite has empty unknown parameter: |unused_data= (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. Kahlos, Maijastina (2007). Debate and Dialogue : Christian and Pagan Cultures c. 360-430. Aldershot: Ashgate. ku. 7–9. ISBN 0-7546-5713-2.
  3. Ernestine, van der Wall (2004). "Ways of Polemicizing: The Power of Tradition in Christian Polemics". Katika T L Hettema and A van der Kooij (mhr.). Religious Polemics in Context. Assen: Royal Van Gorcum. ISBN 90-232-4133-9.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search