Uthai

ราชอาณาจักรไทย
Ratcha Anachak Thai

Ufalme wa Uthai
Bendera ya Uthai Nembo ya Uthai
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: {{{national_motto}}}
Wimbo wa taifa: Phleng Chat
Wimbo la kifalme: Phleng Sansoen Phra Barami
Lokeshen ya Uthai
Mji mkuu Bangkok (Krung Thep)
13°44′ N 100°30′ E
Mji mkubwa nchini Bangkok
Lugha rasmi Kithai
Serikali Ufalme wa kikatiba
Maha Vajiralongkorn
Paetongtarn Shinawatra
Formation
Sukhothai Mfalmedom
Ufalme wa Ayutthaya
Ufalme wa Thonburi
Ufalme wa Chakri

1238–1368
1350–1767
1767 hadi 7 Aprili 1782
7 Aprili 1782 hadi leo
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
513,120 km² (ya 51)
0.4
Idadi ya watu
 - Julai 2014 kadirio
 - 2010 sensa
 - Msongamano wa watu
 
67,091,1201 (ya 20)
64,785,909
132.1/km² (ya 882)
Fedha Baht (฿) (THB)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+7)
(UTC+7)
Intaneti TLD .th
Kodi ya simu +66

-


Uthai pia (Thailand, Tailand) , rasmi kama Ufalme wa Thailand, ni nchi katika Asia ya Kusini-mashariki, inapakana na Laos na Myanmar kaskazini, Cambodia mashariki, Ghuba ya Thailand na Malaysia kusini, na Bahari ya Andaman magharibi. Ina idadi ya watu takriban milioni 70, ikiwa ya 20 duniani. Jiji lake kubwa zaidi ni Bangkok, ambalo pia ni mji mkuu.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search