| |||||
Kaulimbiu ya taifa: {{{national_motto}}} | |||||
Wimbo wa taifa: Phleng Chat Wimbo la kifalme: Phleng Sansoen Phra Barami | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Bangkok (Krung Thep) | ||||
Mji mkubwa nchini | Bangkok | ||||
Lugha rasmi | Kithai | ||||
Serikali | Ufalme wa kikatiba Maha Vajiralongkorn Paetongtarn Shinawatra | ||||
Formation Sukhothai Mfalmedom Ufalme wa Ayutthaya Ufalme wa Thonburi Ufalme wa Chakri |
1238–1368 1350–1767 1767 hadi 7 Aprili 1782 7 Aprili 1782 hadi leo | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
513,120 km² (ya 51) 0.4 | ||||
Idadi ya watu - Julai 2014 kadirio - 2010 sensa - Msongamano wa watu |
67,091,1201 (ya 20) 64,785,909 132.1/km² (ya 882) | ||||
Fedha | Baht (฿) (THB )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC+7) (UTC+7) | ||||
Intaneti TLD | .th | ||||
Kodi ya simu | +66
- |
Uthai pia (Thailand, Tailand) , rasmi kama Ufalme wa Thailand, ni nchi katika Asia ya Kusini-mashariki, inapakana na Laos na Myanmar kaskazini, Cambodia mashariki, Ghuba ya Thailand na Malaysia kusini, na Bahari ya Andaman magharibi. Ina idadi ya watu takriban milioni 70, ikiwa ya 20 duniani. Jiji lake kubwa zaidi ni Bangkok, ambalo pia ni mji mkuu.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search