Uwezo ni neno ambalo maana yake imegawanyika:
Kwa mfano, kuna baadhi ya watu wanapenda kwenda jeshini wakielezwa hali ya huko lakini wengine hawataki hata kusikia. Katika vita vya Kagera vya mwaka 1978 Idd Amini wa Uganda alitaka kuteka baadhi ya maeneo ya Tanzania. Kuna wazalendo waliojitoa kwa hali na mali wakaikomboa nchi: Amini hakuwa na uwezo tena, akakimbilia Libya.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search