Vienna

Sehemu za Mji wa Vienna






Vienna

Bendera

Nembo
Vienna is located in Austria
Vienna
Vienna

Mahali pa mji wa Vienna katika Austria

Majiranukta: 48°12′0″N 16°22′0″E / 48.20000°N 16.36667°E / 48.20000; 16.36667
Nchi Austria
Jimbo Vienna
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 1,680,000
Tovuti:  www.wien.gv.at

Vienna (kwa Kijerumani: Wien) ni mji mkuu na mji mkubwa wa Austria. Uko mashariki mwa nchi, kando ya mto Danubi.

Idadi ya wakazi imezidi milioni moja na lakhi tisa[1].

Vienna ina cheo cha jimbo ndani ya shirikisho la jamhuri ya Austria.

Vienna
  1. STATISTIK AUSTRIA. "Bevölkerung zu Jahres-/Quartalsanfang". statistik.at. Retrieved 12 February 2016.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search