Visiwa vya Cook

Visiwa vya Cook
Cook Islands
Kūki 'Āirani
Bendera ya Visiwa vya Cook Nembo ya Visiwa vya Cook
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa:
Wimbo wa taifa: Te Atua Mou E
Mungu ni Ukweli
Lokeshen ya Visiwa vya Cook
Mji mkuu Avarua
21°12′ S 159°46′ W
Mji mkubwa nchini Avarua
Lugha rasmi Kiingereza
Kimaori
Serikali
Mfalme
Mwakilishi wa Mfalme
Waziri Mkuu
Ufalme wa kikatiba
Charles III wa Uingereza
Tom Marsters
Mark Brown
Uhuru
Kujitawala kwa
ushirikano wa hiari
na New Zealand


4 Agosti 1965
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
240 km² (ya 209)
--
Idadi ya watu
 - [[]] kadirio
 - 2021 sensa
 - Msongamano wa watu
 
(ya 223)
15,040
66/km² (ya 138)
Fedha Dollar ya New Zealand
(pia Dollar ya Cook Islands) (NZD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-10)
(UTC)
Intaneti TLD .ck
Kodi ya simu +682

-


Ramani ya Visiwa vya Cook

Visiwa vya Cook (kwa Kiingereza: Cook Islands, kwa Kimaori: Kūki 'Āirani) ni nchi huru ya Polynesia katika Pasifiki iliyopo katika hali ya ushirikiano wa hiari na Nyuzilandi.

Eneo lake ni visiwa vidogo 15 vyenye eneo la km² 240.

Mji mkuu wa Avarua uko kwenye kisiwa cha Rarotonga.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search