Wanda

Kwa dhana ya jiometri na hisabati, angalia makala ya Pandeolwa

Wanda mmoja.
Wanda.

Wanda (wingi: "nyanda") ni kipimo cha urefu kinacholingana na upana wa kidole kimoja au karibu inchi moja. Vipimo vya kufanana vilitumiwa katika nchi na tamaduni mbalimbali kwa kutumia upana wa kidole gumba.[1]

Ni kati ya vipimo asilia vya Kiswahili, si kipimo sanifu cha kisasa.

  1. Kamusi ya Kiswahili Sanifu (tol. la 4). Dar es Salaam: TUKI. 2019. uk. 725. ISBN 978 019 574616 7.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search