Yeriko (kwa Kiebrania יְרִיחוֹ, kwa Kiarabu أريحا, maana yake "wenye kunukia") ni mji wa kale sana, ulioanzishwa miaka 9000 hivi KK karibu na mto Yordani.
Mwaka 2006 ulikuwa na wakazi 20,400[1][2]
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search