Zambia

Republic of Zambia
Jamhuri ya Zambia
Bendera ya Zambia
Bendera ya Zambia
Neno Kuu: “One Zambia, one nation”
Kiing. „Zambia moja, Taifa moja“
Lugha rasmi Kiingereza
Mji Mkuu Lusaka
Serikali Jamhuri
Rais Hakainde Hichilema
Eneo 752.614 km²
Idadi ya Wakazi 17,351,708 (Julai 2018)
Wakazi kwa km² 17,2
Uhuru Kutoka Uingereza 24 Oktoba 1964
Pesa Kwacha ya Zambia = 100 Ngwee
Wakati UTC+2
Wimbo wa Taifa Lumbanyeni Zambia (Stand and sing of Zambia)
Ramani ya Afrika inayoonyesha Zambia
Ramani ya Afrika inayoonyesha Zambia
Ramani ya Zambia

Jamhuri ya Zambia ni nchi ya Kusini mwa Afrika isiyo na mwambao baharini.

Imepakana na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Tanzania upande wa kaskazini, Malawi upande wa mashariki, Msumbiji, Zimbabwe na Botswana upande wa kusini, Namibia na Angola upande wa magharibi.

Mji mkuu ni Lusaka (wenye wakazi 1,747,152 mwaka 2010).


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search