Zimbabwe


Jamhuri ya Zimbabwe
Republic of Zimbabwe, Africa
Flag of Zimbabwe
(Bendera ya Zimbabwe) (Nembo ya Zimbabwe)
Kaulimbiu ya Taifa Unity, Freedom, Work (Kiingereza: Umoja, Uhuru, Kazi) " |
Wimbo wa Taifa
Location of Zimbabwe
Lugha rasmi Kiingereza na 15 nyingine
Mji Mkuu Harare
Mji mkubwa Harare
Rais Emmerson Mnangagwa
Eneo
 - Jumla
 -Maji
 -Eneo kadiriwa
km² 390,757
1%
ya 60 duniani
Umma
 - Kadirio
 - Sensa,
 - Msongamano wa watu
15,178,979 ya 66 duniani
(2022)
; 32/km²
; ya duniani
Chumo cha uchumi
 - Jumla
 - kwa kipimo cha umma
$24.99 billion (Orotha ya nchi GDP (kidogo))
$2,100 (Orodha ya nchi kulingana na GDP kwa umma)
Uhuru
 - Kadirifu
 - Barabara
(kama Rhodesia) 11 Novemba 1965
(kama Zimbabwe) 18 Aprili 1980
Fedha Dolar ya Marekani|
Saa za Eneo UTC +2
Intaneti TLD .zw
kodi za simu 263

Jamhuri ya Zimbabwe (iliyojulikana wakati wa ukoloni kama Rhodesia ya Kusini) ni nchi isiyo na bahari iliyoko upande wa kusini wa Bara la Afrika, kati ya mto Zambezi na mto Limpopo.

Imepakana na Afrika ya Kusini upande wa kusini, Botswana upande wa magharibi, Zambia upande wa kaskazini-mashariki, na Msumbiji upande wa mashariki.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search