1945


1945 ilikuwa mwaka wa mwisho wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia. Majaribio ya Ujerumani na Japani ya kutawala dunia yalishindwa na mataifa yalitafuta ushirikiano mpya. Ilikuwa pia chanzo cha vita baridi kati ya vikundi wa washindi wa vita kuu baada ya Umoja wa Kisovyeti kujenga utawala wake juu ya nchi za Ulaya ya Mashariki.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search