Afghanistan

د افغانستان اسلامي امارت
Də Afġānistān Islāmī Imārat
امارت اسلامی افغانستان
Imārat-i Islāmī-yi Afğānistān

Emirati ya Kiislamu ya Afghanistan
Bendera ya Afghanistan Nembo ya Afghanistan
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: لا إله إلا الله، محمد رسول الله (Shahada)
Lā ilāhā illā-llāhu; muhammadun rasūlu-llāhi
("Hakuna mungu ila Allah; Muhammad ni mtume wa Allah")
Wimbo wa taifa: Dā Də Bātorāno Kor
Lokeshen ya Afghanistan
Mji mkuu Kabul
34°31′ N 69°08′ E
Mji mkubwa nchini Kabul
Lugha rasmi Kipashto, Kifarsi
Serikali Utheokrasi wa kidikteta chini ya emirati ya Kiislamu
Hibatullah Akhundzada
Hasan Akhund
Uhuru
Tarehe
Kutoka Uingereza
19 Agosti 1919
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
652,864 km² (41)
N/A
Idadi ya watu
 - 2015 kadirio
 - 1979 sensa
 - Msongamano wa watu
 
32,564,342 (40th)
13,051,358
43.5/km² (150th)
Fedha Afghani (Af) (AFN)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+4:30)
(UTC+4:30)
Intaneti TLD .af
Kodi ya simu +93

-



Afghanistan (jina rasmi: Emirati ya Kiislamu ya Afghanistan) ni nchi ya bara la Asia. Inapakana na nchi za Pakistan, Uajemi, Turkmenistan, Usbekistan, Tajikistan na China.

Ni nchi ya milima mirefu mingi inayofunika 3/4 za uso wake. Kutokana na tabia ya nchi wakazi wengi huishi katika jumuiya za kikabila.

Mji mkuu ni Kabul.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search