Afrika Kusini

Republic of South Africa
Afrika Kusini
Bendera ya Afrika Kusini Nembo ya Afrika Kusini
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: /Xam: !ke e: ǀxarra ǁke
(Kiswahili: "Umoja katika utofauti" au kifasihi, "Umoja wa watu tofauti")
Wimbo wa taifa: National anthem of South Africa
Lokeshen ya Afrika Kusini
Mji mkuu Cape Town (Bunge)
Pretoria (Serikali)
Bloemfontein (Mahakama Kuu)
33°55′ S 18°25′ E
Mji mkubwa nchini Johannesburg
Lugha rasmi Kiafrikaans, Kiingereza, Kizulu, Kixhosa, Kiswati, Kindebele, Kisotho cha Kusini, Kisotho cha Kaskazini, Kitsonga, Kitswana, Kivenda
Serikali Jamhuri
Cyril Ramaphosa
Uhuru
Muungano wa Afrika Kusini
31 Mei 1910
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
1,221,037 km² (ya 25)
kidogo sana
Idadi ya watu
 - Julai 2005 kadirio
 - 2014 sensa
 - Msongamano wa watu
 
47,432,000 [1] (ya 25)
54,002,000
42.4/km² (ya 169)
Fedha Rand (ZAR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+2)
not observed (UTC+2)
Intaneti TLD .za
Kodi ya simu +27

-

1.) angalia: Makadirio ya idadi ya watu ni pamoja na vifo kutokana na UKIMWI.


Afrika Kusini ni nchi kubwa ya Afrika ya Kusini yenye wakazi takriban milioni 54.

Imepakana na Namibia, Botswana, Zimbabwe, Msumbiji na Uswazi. Nchi nzima ya Lesotho iko ndani ya eneo la Afrika Kusini.

Mji mkubwa ni Johannesburg. Majukumu ya mji mkuu yamegawiwa kati ya miji mitatu: Cape Town ni makao ya Bunge, Pretoria ni makao ya Serikali na Bloemfontein ni makao ya Mahakama Kuu.

  1. The Constitution of the Republic of South Africa (PDF) (toleo la 2013 English version). Constitutional Court of South Africa. 2013.{{cite book}}: CS1 maint: url-status (link)

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search