Kizulu: | iRiphabhuliki yaseNingizimu Afrika |
---|---|
Kixhosa: | iRiphabliki yomZantsi Afrika |
Kiafrikaans: | Republiek van Suid-Afrika |
Kisotho-Kaskazini: | Repabliki ya Afrika-Borwa |
Kitswana: | Rephaboliki ya Aforika Borwa |
Kisotho-Kusini: | Rephaboliki ya Afrika Borwa |
Kitsonga: | Riphabliki ya Afrika Dzonga |
Kiswazi: | iRiphabhulikhi yeNingizimu Afrika |
Kivenda: | Riphabuḽiki ya Afurika Tshipembe |
Kindebele: | iRiphabliki yeSewula Afrika |
Bendera | Nembo |
ZAR
)
+27
-
Afrika Kusini ni nchi kubwa ya Afrika ya Kusini yenye wakazi takriban milioni 54.
Imepakana na Namibia, Botswana, Zimbabwe, Msumbiji na Uswazi. Nchi nzima ya Lesotho iko ndani ya eneo la Afrika Kusini.
Mji mkubwa ni Johannesburg. Majukumu ya mji mkuu yamegawiwa kati ya miji mitatu: Cape Town ni makao ya Bunge, Pretoria ni makao ya Serikali na Bloemfontein ni makao ya Mahakama Kuu.
{{cite book}}
: CS1 maint: url-status (link)
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search