Afrika ya Mashariki

Ramani ya Afrika Mashariki kadiri ya Umoja wa Mataifa.

Afrika ya Mashariki ni sehemu ya bara la Afrika ambayo iko upande wa mashariki, ikipakana na Bahari ya Kihindi.

Kadiri ya Umoja wa Mataifa Afrika ya Mashariki ina nchi 18 zifuatazo:

  • Mayotte na Réunion, zilizokuwa makoloni na sasa ni mikoa ya Ufaransa, zinahesabiwa pia katika orodha hii.

Hata hivyo:


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search