Alama

Alama asili katika mazingira inayodokeza na kuthibitisha uwepo wa mtu hivi karibuni.
Alama ya hatari ya kibiolojia haihusiani nayo kabisa.

Alama (kwa Kiingereza "sign"[1]) ni kitu, mchoro, maandishi, kifaa ambacho hutambulisha kitu kingine, tukio, sehemu n.k.

Baadhi yake ni asili, kwa mfano radi ya umeme na dalili za ugonjwa.[2]


Baadhi zimetungwa na binadamu, kwa mfano vituo katika maandishi na vitendo vya mikono wakati wa kuongea.[3]

Ishara za Zodiac za Magharibi
Ishara kwenye pwani huko Durban katika enzi ya ubaguzi wa rangi Afrika Kusini inaonyesha pwani ya ubaguzi wa rangi.[4]
  1. New Oxford American Dictionary
  2. "Roderick M. Chisholm "Sextus Empiricus and Modern Empiricism" Philosophy of Science, Jul., 1941, Vol. 8, No. 3 pp. 371-372". JSTOR 184308.
  3. Woo, B. Hoon (2013). "Augustine's Hermeneutics and Homiletics in De doctrina christiana". Journal of Christian Philosophy. 17: 103–106.
  4. "Roderick M. Chisholm "Sextus Empiricus and Modern Empiricism" Philosophy of Science, Jul., 1941, Vol. 8, No. 3 pp. 371-372". JSTOR 184308.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search