Aleksandria

Nji wa Aleksandria, Misri

Aleksandria (pia: Alexandria au Iskandiria; kwa Kigiriki Ἀλεξάνδρεια, Alexandreia; kwa Kiarabu: الإسكندرية, al-iskandariya) ni mji mkubwa wa pili wa [Misri]] na [bandari] muhimu kwenye Bahari ya Mediteranea.

Uko kando ya [delta] ya [[Nile] [kaskazini] mwa Misri takriban 225 km kutoka Kairo.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search