Armenia

Հայաստանի Հանրապետություն
Hayastani Hanrapetutyun

Jamhuri ya Armenia
Bendera ya Armenia Nembo ya Armenia
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Kiarmenia: Մեկ Ազգ , Մեկ Մշակույթ
"Mek Azg, Mek Mshakowyt"
"Taifa moja, utamaduni mmoja"
Wimbo wa taifa: Mer Hayrenik
("Nchi yetu")
Lokeshen ya Armenia
Mji mkuu  Yerevan1
40°16′ N 44°34′ E
Mji mkubwa nchini Yerevan
Lugha rasmi Kiarmenia
Serikali Jamhuri
Vahagn Khachaturyan (Վահագն Խաչատուրյան)
Nikol Pashinyan (Նիկոլ Փաշինյան)
Uhuru
Ilitangazwa
Ilitambuliwa
Ilikamilika
chanzo cha taifa la Armenia
kuanzishwa kwa ufalme wa Urartu
kuanzishwa kwa ufalme wa Armenia
kupokelewa kwa Ukristo
Jamhuri ya Armenia

23 Agosti 1990
21 Septemba 1991
25 Desemba 1991
11 Agosti 2492 KK
1000 KK
600 KK
301
28 Mei 1918
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
29,743 km² (ya 141)
4.71
Idadi ya watu
 - 2022 kadirio
 - 2015 sensa
 - Msongamano wa watu
 
3,000,756[1] (ya 1372)
2,974,693
101.5/km² (ya 99)
Fedha Dram (AMD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
UTC (UTC+4)
DST (UTC+5)
Intaneti TLD .am
Kodi ya simu +374

-

1 Maandishi kwa herufi za Kilatini pia "Erevan", "Jerevan" au "Erivan".
2 cheo kulingana na kadirio ya UM ya 2005.



Armenia (kwa Kiarmenia: Հայաստան Hayastan au Հայք Hayq) ni nchi ya mpakani kati ya Ulaya na Asia katika milima ya Kaukasi iliyoko kati ya Bahari Nyeusi na Bahari ya Kaspi.

Imepakana na Uturuki, Georgia, Azerbaijan na Iran. Upande wa kusini kuna eneo la nje la Kiazerbaijan linaloitwa Nakhichevan.

Ingawa kijiografia Armenia huhesabiwa mara nyingi kama sehemu ya Asia, kiutamaduni na kihistoria huhesabiwa pia kama sehemu ya Ulaya.

  1. "Statistics". Iliwekwa mnamo Machi 17, 2022.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search