Asia ya Magharibi

Asia ya Magharibi (buluu nyeusi); Mashariki ya kati: pamoja na buluu nyeupe

Asia ya Magharibi (inalingana kwa kiasi kikubwa na jina la Mashariki ya Kati) ni sehemu ya magharibi-kusini ya bara la Asia. Inatajwa kati ya kanda za dunia ya UM.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search