Askofu

Picha ya Timotheo, mmoja kati ya maaskofu wa kwanza, ilivyochorwa katika Nuremberg chronicles f 109v(1493).

Askofu ni mtu mwenye cheo cha juu katika Kanisa. Kwa kawaida huliongoza katika eneo la dayosisi (jimbo) akisimamia shirika au parokia nyingi.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search