BBC


British Broadcasting Corporation
Nembo ya BBC
Nembo ya BBC
Kutoka mji London
Nchi Uingereza
Eneo la utangazaji Kote duniani
Kituo kilianzishwa mwaka {{{chanzo}}}
Mwenye kituo Shirika la umma Uingereza
Programu zinazotolewa {{{programu}}}
Tovuti www.bbc.co.uk
BBC Broadcasting House, London

British Broadcasting Corporation (BBC) ni shirika la utangazaji la Uingereza. Shirika hili lilianzishwa mwaka 1922 kwa jina la British Broadcasting Company Ltd kama kampuni binafsi. Baadaye mwaka 1927 lilibadilishwa hadhi yake na kuwa shirika la umma.

BBC ndio shirika la habari kubwa kuliko yote duniani likiwa linatoa habari na taarifa mbalimbali kwa njia ya redio, runinga na intaneti.

Tangu mwaka 1957 imerusha habari kwa Kiswahili pia.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search