Bahrain

مملكة البحرين
Mamlakat al-Bahrayn

Ufalme wa Bahrain
Bendera ya Bahrain Nembo ya Bahrain
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Bahrainona
Wimbo wa taifa: بحريننا  (Bahrainona)
"Bahrain yetu"
Lokeshen ya Bahrain
Mji mkuu Manama
26°13′ N 50°35′ E
Mji mkubwa nchini Manama
Lugha rasmi Kiarabu
Serikali Ufalme wa kikatiba
Hamad Bin Isa Al Khalifa
Khalifah ibn Sulman Al Khalifah
Salman Bin Hamad Al Khalifa
Uhuru
tarehe
15 Agosti 1971
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
786.5 km² (ya 173)
0
Idadi ya watu
 - 2020 kadirio
 - 2010 sensa
 - Msongamano wa watu
 
1,463,265a (ya 149)
1,234,571
1,912.7/km² (ya 3)
Fedha Bahraini Dinar (BHD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+3)
(UTC)
Intaneti TLD .bh
Kodi ya simu +973

-

a Includes 235,108 non-nationals (Julai 2005 estimate).


Ramani ya visiwa vya Bahrain
Bahrain inavyoonekana kutoka angani

Bahrain (kwa Kiarabu: مملكة البحرين Mamlakat al-Baḥrayn, Ufalme wa Bahrain) ni nchi ya visiwa na ufalme mdogo katika Ghuba ya Uajemi karibu na pwani ya Saudi Arabia.

Nchi ni tajiri kutokana na mapato ya mafuta ya petroli.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search