Bariadi | |
Mahali pa Bariadi katika Tanzania |
|
Majiranukta: 2°48′14″S 33°59′10″E / 2.80389°S 33.98611°E | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Simiyu |
Wilaya | Bariadi mjini |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 260,9,278 |
Msimbo wa posta | 39101 |
Bariadi ni mji katika Mkoa wa Simiyu ulio makao makuu ya mkoa. Ilipata halmashauri yake ya pekee kuanzia mwaka 2012[1] ilipotengwa na Wilaya ya Bariadi.
Misimbo ya posta huanza kwa namba 391[2].
Wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, eneo la mji ulikuwa na wakazi 167,508 walioishi katika kata 10[3]. Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 260,927 [4].
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search