| |||||
Kaulimbiu ya taifa: Kihispania: ¡Morir antes que esclavos vivir! ("Heri kufa kuliko kuishi kama watumwa") | |||||
Wimbo wa taifa: Bolivianos, el hado propicio | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Sucre | ||||
Mji mkubwa nchini | Santa Cruz | ||||
Lugha rasmi | Kihispania, Kiguarani, Kiquechua, Kiaymara | ||||
Serikali | Jamhuri Luis Arce | ||||
Uhuru Kutoka Hispania |
6 Agosti 1825 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
1,098,581 km² (ya 28) 1.29% | ||||
Idadi ya watu - 25 Machi 2014 kadirio - 2001 sensa - Msongamano wa watu |
10,556,102 (ya 83) 8,280,184 9/km² (ya 221) | ||||
Fedha | Boliviano (BOB )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
— (UTC-4) — (UTC?) | ||||
Intaneti TLD | .bo | ||||
Kodi ya simu | +591
- |
Bolivia (jina linatokana na shujaa Simon Bolivar) ni nchi isiyo na mwambao wa bahari katika Amerika Kusini.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search