Chingis Khan (pia: Genghis Khan; takriban 1162 – 18 Agosti 1227) alikuwa kiongozi wa Wamongolia aliyeunda Milki ya Wamongolia iliyoendelea kutawala eneo kubwa kuanzia China pamoja na Asia ya Kati hadi Urusi na Mashariki ya Kati.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search