Chingis Khan

Chingis Khan (picha ya karne ya 14 BK)
Dola la Chingis-Khan wakati wa kifo chake 1227 BK; mipaka ya nchi za kisasa

Chingis Khan (pia: Genghis Khan; takriban 116218 Agosti 1227) alikuwa kiongozi wa Wamongolia aliyeunda Milki ya Wamongolia iliyoendelea kutawala eneo kubwa kuanzia China pamoja na Asia ya Kati hadi Urusi na Mashariki ya Kati.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search