Eswatini

Ufalme wa Eswatini
Umbuso weSwatini (Kiswazi)
Kingdom of Swaziland (Kiingereza)
Kaulimbiu ya taifa: Siyinqaba (Kiswazi)
"Sisi ni ngome"
Wimbo wa taifa:
Nkulunkulu Mnikati wetibusiso temaSwati
"Mungu, Mpaji wa Baraka kwa Waswati"
Mahali pa Eswatini
Mahali pa Eswatini
Ramani ya Eswatini
Ramani ya Eswatini
Miji mikuuMbabane (serikali)
Lobamba (bunge)
Mji mkubwa nchiniMbabane
26°19′ S 31°08′ E
Lugha rasmiKiswati
Kiingereza
Makabila (asilimia)84 Waswati
10 Wazulu
6 wengine


Eswatini (jina rasmi tangu mwaka 2018 ni Umbuso weSwatini; kifupi cha Kiswati: eSwatini[1]; kwa Kiswahili pia: Uswazi) ni nchi ndogo ya Kusini mwa Afrika isiyo na pwani katika bahari yoyote.

Imepakana na Afrika Kusini na Msumbiji.

Miji mikuu ni Mbabane na Lobamba.

  1. Swaziland king renames country 'the Kingdom of eSwatini', tovuti ya BBC, iliangaliwa Aprili 2018

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search