Falme za Kiarabu

الإمارات العربيّة المتّحدة
Al-Imārāt al-ʿArabiyyah al-Muttaḥidah

Falme za Kiarabu
Bendera ya Falme za Kiarabu Nembo ya Falme za Kiarabu
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: none
Wimbo wa taifa: Ishy Bilady
Lokeshen ya Falme za Kiarabu
Mji mkuu Abu Dhabi
22°47′ N 54°37′ E
Mji mkubwa nchini Dubai
Lugha rasmi Kiarabu
Serikali Shirikisho, Ufalme
Khalifa bin Zayed Al Nahayan
M. bin Rashid Al Maktoum
Kuundwa kwa shirikisho
2 Desemba 1971
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
83,600 km² (ya 116)
--
Idadi ya watu
 - 2005 kadirio
 - 2005 sensa
 - Msongamano wa watu
 
4,496,000 (ya 116)
4,104,695 [1]
54/km² (ya 143)
Fedha Dirham (AED)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
GMT (UTC+4)
+4 (UTC)
Intaneti TLD .ae
Kodi ya simu +971

-



Falme za Kiarabu (kwa Kiarabu: الإمارات العربيّة المتّحدة; kwa Kiingereza United Arab Emirates) ni shirikisho la emirati au falme ndogo 7 katika kaskazini-mashariki ya Rasi ya Uarabuni kwenye mwambao wa ghuba ya Uajemi.

Shirikisho limepakana na Saudia na Omani kwenye nchi kavu; baharini kuna mipaka pia na Katar na Iran.

Mji mkuu ni Abu Dhabi na mji mkubwa ni Dubai.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search