Familia

Familia pana ya baba, mama, watoto na ndugu wengine, Basankusu, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Familia pana ya machotara huko Cape Town, Afrika Kusini.
Sanamu ya Familia: wazazi na mtoto.
Mama na watoto, Berlin, Ujerumani, 1962.
Baba na watoto, Kopperston, Marekani, 1946.

Familia (kutoka Kilatini "familia") ni kikundi cha watu wanaokaa pamoja kama baba, mama na watoto. Kikundi hicho mara yingi ni sehemu ya kundi kubwa zaidi la ukoo unaounganisha watu wenye asili katika uzazi wa pamoja.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search