Farasi

Kwa habari kuhusu nyota angalia Farasi (kundinyota)

Farasi
Farasi
Farasi
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Perissodactyla (Wanyama wenye kidole kimoja au vitatu mguuni)
Familia: Equidae (Wanyama walio na mnasaba na farasi)
Nusufamilia: Equinae (Wanyama wanaofanana na farasi)
Jenasi: Equus (Farasi na punda)
Spishi: E. ferus
(Boddaert, 1785)
Ngazi za chini

Nususpishi 3:

Farasi (kutoka neno la Kiarabu فرس, faras) ni mnyama mkubwa katika ngeli ya mamalia. Wamefugwa na binadamu kwa maelfu ya miaka iliyopita. Matumizi yao ni kubeba watu au mizigo au kufanya kazi ya kuvuta magari na plau. Wamefugwa pia kwa ajili ya nyama na maziwa yao.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search