Firenze


Firenze
Firenze is located in Italia
Firenze
Firenze

Mahali pa Firenze katika Italia

Majiranukta: 43°47′00″N 11°15′00″E / 43.78333°N 11.25000°E / 43.78333; 11.25000
Nchi Italia
Mkoa Toscana
Wilaya Firenze
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 360,000
Tovuti:  http://www.comune.fi.it/
Mji wa Firenze

Firenze (kwa Kiingereza Florence) ni mji katika Italia ya Kati na makao makuu ya mkoa wa Toscana. Kati ya mwaka 1865 hadi 1870 ilikuwa pia mji mkuu wa Ufalme wa Italia.

Mji uko juu ya mto Arno. Idadi ya wakazi ni mnamo 360,000 na pamoja na rundiko la mji ni takriban 1,100,000.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search