Georgia

Kwa matumizi mengine ya jina hili tazama Georgia (maana)

საქართველო
Georgia
Bendera ya Georgia Nembo ya Georgia
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: ძალა ერთობაშია(Kigeorgia)
"Nguvu ni Umoja"
Wimbo wa taifa: Tavisupleba ("Uhuru")
Lokeshen ya Georgia
Mji mkuu Tbilisi
41°43′ N 44°47′ E
Mji mkubwa nchini Tbilisi
Lugha rasmi Kigeorgia (pia Kiabkhazi katika Abkhazia)
Serikali Jamhuri
Salome Zourabichvili (სალომე ზურაბიშვილი)
Irakli Kobachidze (ირაკლი კობახიძე)
Chanzo cha Taifa
Kuanzishwa kwa Kolkhis
na Iberia ya Kaukazi
kama falme za kwanza katika Georgia
Ufalme wa Georgia uliounganishwa
Jamhuri ya kwanza ya Georgia
Uhuru kutoka Umoja wa Kisovyeti
Ilitangazwa
Ilitambuliwa
Ilikamilishwa

mnamo2000 BC


1008
26 Mei 1918

9 Aprili 1991
6 Septemba 1991
25 Desemba 1991
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
69,420 km² (ya 120)
Idadi ya watu
 - 2017 kadirio
 - 2014 sensa
 - Msongamano wa watu
 
3,718,200[1] (ya 1311)
3,729,635
53.5/km² (137)
Fedha Lari (ლ) (GEL)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
MSK (UTC+3)
MSD (UTC+4)
Intaneti TLD .ge
Kodi ya simu +995

-

1 Population figure excludes Abkhazia and South Ossetia.


Ramani ya Georgia

Georgia (kwa Kigeorgia: საქართველო "Sakartvelo") ni nchi ya Kaukazi kati ya Ulaya na Asia kwenye mwambao wa Bahari Nyeusi.

Imepakana na Urusi, Uturuki, Armenia na Azerbaijan.

Georgia ina wakazi milioni 3.7. Zaidi ya milioni 1 hukaa mjini Tbilisi ambao ndio mji mkuu wa nchi.

  1. "Number of Population as of January 1, 2017 — National Statistics Office of Georgia" (PDF). Retrieved 1 May 2017.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search