Ghuba ya Aden

Mahali pa Ghuba ya Aden

Guba ya Aden ni mkono pana wa Bahari Hindi kati ya Somalia upande wa kusini na Rasi ya Uarabuni upande wa kaskazini. Inaanza kwenye sehemu ya Bahari Hindi iitwayo pia Bahari Arabu na kuelekea kwa mlango wa bahari wa Bab el Mandeb unaoiunganisha na Bahari ya Shamu.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search