Ghuba ya Uajemi

Ramani ya Ghuba ya Uajemi

Ghuba ya Uajemi (Kiajemi: خلیج فارس khalij-e fārs; Kiarabu: الخليج الفارسي al-khalīj al-fārsī; pia: الخليج العربي al-khalīj al-ʿarabī „Ghuba Arabu“) ni ghuba kubwa la Bahari Hindi kati ya Uajemi na rasi ya Uarabuni.

Inaanza kwenye Mlango wa Hormuz na kuendelea hadi mwisho wake upande wa Kuwait na mdomo wa Shatt al Arab.

Ni kawaida ya kuiita ghuba ya Uajemi lakini katika fitina ya miaka iliyopita nchi kadhaa za Waarabu ziliita "Ghuba Arabu". Zamani iliitwa pia "Ghuba ya Basra" na hili ndilo jian lake hadi leo katika lugha ya Kituruki "Basra Körfezi).


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search