Hawaii

Mchanganyiko wa familia ya Kihawai / Ulaya na Amerika huko Honolulu, 1860s








Hawaii

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Honolulu
Eneo
 - Jumla 28,311 km²
 - Kavu 16,635 km² 
 - Maji 11,677 km² 
Tovuti:  http://www.hawaii.gov/
Ramani ya Hawaii

Hawaii (kwa Kihawaii: Mokuʻāina o Hawaiʻi) ni funguvisiwa la bahari ya Pasifiki ambalo ni jimbo la Marekani, pia ni jina la kisiwa chake kikubwa.

Hawaii ilikuwa ufalme wa Wapolinesia, ikawa koloni la Marekani]] katika karne ya 19 na imekuwa jimbo la Marekani tangu tarehe 21 Agosti 1959.

Mji mkuu ni Honolulu kwenye kisiwa cha Oahu.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search