Historia ya China inahusu eneo ambalo leo linaunda Jamhuri ya Watu wa China lakini hasa maeneo yote yanayopakanwa na Nyanda za Juu za Tibet upande wa magharibi, Jangwa la Gobi upande wa kaskazini, Myanmar (Burma), Laos na Vietnam upande wa kusini- magharibi na bahari upande wa mashariki. [1]
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search