Iraq

جمهورية العراق
Jumhūrīyat al-`Irāq
كۆماری عێراق
Komara `Îraqê

Jamhuri ya Iraq
Bendera ya Iraq Nembo ya Iraq
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Kiarabu: الله أكبر
(Allahu Akbar)
(Translation: "Mungu ni mkuu")
Wimbo wa taifa: Mawtini (new);
Ardh Alforatain (previous)[1]
Lokeshen ya Iraq
Mji mkuu Baghdad[2]
33°20′ N 44°26′ E
Mji mkubwa nchini Baghdad
Lugha rasmi Kiarabu, Kikurdi[3]
Serikali Jamhuri, serikali ya kibunge
Barham Salih
Mustafa Al-Kadhimi
Uhuru
kutoka Dola la Uturuki
kutoka Uingereza

31 Oktoba 1919
3 Oktoba 1932
28 Juni 2004
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
437,072 km² (ya 59)
1.1
Idadi ya watu
 - 2015 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
37,056,169 (ya 36)
82.7/km² (ya 125)
Fedha Iraqi Dinar (IQD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+3)
(UTC+4)
Intaneti TLD .iq
Kodi ya simu +964

-

1 Wakurdi hutumiaEy Reqîb.
2 Arbil ni mju mkuu wa jimbo la kujitawala la Kurdistan.
3 Lugha rasmi za serikali kitaifa ni Kiarabu na Kikurdi. Kikurdi ni lugha rasmi ya jimbo la Kurdistan. Kikatiba lugha za Kiassiryani na Kiturkmeni ni lugha rasmi kieneo penye wasemaji wengi wa lugha hizi.


Ramani ya Iraq

Iraq (kwa Kiarabu العراق, al-ʿIrāq) ni nchi ya Asia ya Magharibi inayokaliwa hasa na Waarabu (75-80%) lakini pia na wengine, hasa Wakurdi 15%).

Inajumlisha eneo la Mesopotamia pamoja na sehemu ya jangwa la Shamu na ya milima ya Zagros.

Imepakana na Kuwait, Saudia, Yordani, Syria, Uturuki na Uajemi. Kuna pwani fupi kwenye Ghuba ya Uajemi.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search