Jamhuri ya Kongo

République du Congo
Jamhuri ya Kongo
Bendera ya Jamhuri ya Kongo Nembo ya Jamhuri ya Kongo
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Unité - Travail - Progrès
(Kifaransa: "Umoja - Kazi - Maendeleo")
Wimbo wa taifa: La Congolaise
Lokeshen ya Jamhuri ya Kongo
Mji mkuu Brazzaville
°′  °′ 
Mji mkubwa nchini Brazzaville
Lugha rasmi Kifaransa (Kilingala, Kikongo ni lugha ya taifa)
Serikali
Rais
Serikali ya mseto
Denis Sassou-Nguesso
Uhuru
 - Tarehe
Kutoka Ufaransa
15 Agosti 1960
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
342,000 km² ()
%
Idadi ya watu
 - 2018 kadirio
 - 2018 sensa
 - Msongamano wa watu
 
5,244,359 ()
5,244,359
12.8/km² ()
Fedha CFA frank (XFA) (FCFA)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET, EET (UTC+1)
- (UTC+1)
Intaneti TLD .cg
Kodi ya simu +242

-



Jamhuri ya Kongo ni nchi ya Afrika ya Kati. Imejulikana pia kama Kongo-Brazzaville (kutokana na mji mkuu) kwa kusudi la kutoichanganywa na nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Jamhuri ya Kongo imepakana na Gabon, Kamerun, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Angola na Bahari ya Atlantiki.

Nchi ilikuwa koloni la Ufaransa hadi tarehe 15 Agosti 1960.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search