| |||||
Kaulimbiu ya taifa: Unité - Travail - Progrès (Kifaransa: "Umoja - Kazi - Maendeleo") | |||||
Wimbo wa taifa: La Congolaise | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Brazzaville | ||||
Mji mkubwa nchini | Brazzaville | ||||
Lugha rasmi | Kifaransa (Kilingala, Kikongo ni lugha ya taifa) | ||||
Serikali • Rais
|
Serikali ya mseto Denis Sassou-Nguesso | ||||
Uhuru - Tarehe |
Kutoka Ufaransa 15 Agosti 1960 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
342,000 km² () % | ||||
Idadi ya watu - 2018 kadirio - 2018 sensa - Msongamano wa watu |
5,244,359 () 5,244,359 12.8/km² () | ||||
Fedha | CFA frank (XFA) (FCFA )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
CET, EET (UTC+1) - (UTC+1) | ||||
Intaneti TLD | .cg | ||||
Kodi ya simu | +242
- |
Jamhuri ya Kongo ni nchi ya Afrika ya Kati. Imejulikana pia kama Kongo-Brazzaville (kutokana na mji mkuu) kwa kusudi la kutoichanganywa na nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Jamhuri ya Kongo imepakana na Gabon, Kamerun, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Angola na Bahari ya Atlantiki.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search