Jimbo kuu

Kanisa kuu la Jimbo Kuu la Arusha, Tanzania.

Jimbo kuu ni jimbo yenye hadhi ya juu upande wa sheria za Kanisa kwa msingi wa historia, wingi wa watu au waamini n.k.

Kwa kawaida lina majimbo ya kandokando chini yake.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search