Jumapili

Jumapili ni siku ya kwanza katika juma (wiki) ya siku saba yenye asili ya Kiyahudi-Kikristo. Iko kati ya siku za Jumamosi na Jumatatu.

Kwa Wakristo walio wengi ni siku ya sala za pamoja kanisani.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search