Kairo | |
![]() Bendera |
|
Majiranukta: 30°03′N 31°22′E / 30.050°N 31.367°E | |
Nchi | Misri |
---|---|
Mkoa | Kairo |
Tovuti: www.cairo.gov.eg |
Kairo (kwa Kiarabu القاهرة al-Qāhira – „mwenye ushindi“) ni mji mkuu wa Misri na mji mkubwa wa nchi zote za Kiarabu, pia moja kati ya majiji makubwa duniani.
Kairo yenyewe inakadiriwa kuwa na wakazi 10,230,350 [1], kanda ya jiji pamoja na mitaa ya nje na mapembizo ni 15,628,325 [2].
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search