Kaisari Leo III (685 hivi - 18 Juni 741) alitawala Dola la Roma Mashariki kuanzia mwaka 717 hadi 741[1].
Katika historia ya Kanisa anakumbukwa kwa kudhulumu Wakristo wengi akidai wasitumie tena picha takatifu[2].
{{cite book}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (link)
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search