Kalenda ya Kiyahudi

Kalenda ya Kiyahudi (pia: Kalenda ya Kiebrania) ni kalenda inayotumiwa katika dini ya Uyahudi na pia nchini Israel. Inatumiwa kupanga tarehe za sikukuu za Kiyahudi na utaratibu wa kusoma Torati kwa kila wiki.

Liturgia na sala hufuata pia mpangilio wa kalenda hiyo.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search